TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Jumamosi, 18 Mei 2013

*YANGA YATIMIZA FURAHA YAKE KWA KUMUUA MNYAMA SIMBA 2-0


 Kipa wa Simba, Juma Kaseja, akitaabika chini baada ya kushindwa kuuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na Didier Kavumbagu, katika dakika ya 5 na kuandika bao la kuongoza katika kipindi cha kwanza. Simba nao walipata penati dakika chache baadaye baada ya Canavaro kumuangusha Ngassa katika eneo la hatari na petati ikapigwa na Mussa Mude aliyempelekea kipa katika engo ya kushoto kwake na kuokolewa na kipa huyo.  Kipindi cha pili Hamis Kiia aliiandikia bao la pili timu ya Yanga kwa kuunganisha mpira uliorushwa na Mbuyu Twite. Hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 2, Simba 0.
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akichuana na beki wa Simba, Shomari Kapombe, na mpira huo ulitoka na kuwa kona iliyozaa bao. Sasa mpira ni kipindi cha pili, kaa na ukurasa huu utakaokuletea full matukio ya mechi hii ya Watani wa jadi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni