TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Ijumaa, 24 Mei 2013

RAIS KIKWETE ALIPOWAAPISHA MABALOZI WANNE NA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA SHERIA IKULU


 Rais Jakaya Kiwete akimwapisha Balozi Modest Mero kuwa Balozi mpya wa Kidumu Umoja wa Mataifa (UN), nchini Geneva Uswis. Jumla ya Mabalozi wanne waliapishwa na Rais kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali za nje pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha sheria.
Rais Jakaya Kiwete Rais Jakaya Kiwete akimwapisha Jaji Aloysius Mujulizi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, mbali na Mwenyekiti huyo wa Tume pia Rais aliwaapisha Mabolizi wanne kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali za nje.

Rais Jakaya Kiwete akimwapisha Balozi Wilson Masilingi anaekwenda Uholanzi.
Rais Jakaya Kiwete akimwapisha Balozi ........
Rais Jakaya Kiwete akimwapisha Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.
 Rais Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Balozi Modest Mero.
 Rais Jakaya Kikwete akipiga picha ya pamoja na ndugu na jamaa wa Balozi Modest Mero Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kuapishwa.
 Balozi Mero akiwa na ndugu zake Dalas (kushoto) na Mzirai.
 Balozi Modest Mero (kulia) akiwa na Michael Ley.
 Balozi Mero akipongezwa na Mpambe wa Rais (ADC to President) Kanali Kimario.
Balozi Mero akiwa na jamaa yake Richard Kasesela.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni