TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Jumanne, 14 Mei 2013

NMB YATUNUKIWA KWA KUFADHILI MKUTANO MKUU WA 29 WAJUMUIYA ZA TAWALA ZA MITAA TANZANIA


 Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akimkabidhi Cheti, Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara ya Serikali NMB, Domina Feruzi,  kama ishara ya shukrani kwa  benki ya NMB kwa kuwa mdhamini mkuu wa Mkutano Mkuu wa 29 wa Jumuia za  Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Maofisa wa benki ya NMB alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano wa 29 wa Jumuia za  Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni jijini Arusha. 
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipokea kadi ili kujionea kadi hiyo ya Chapchap baada ya kupata maelezo kutoka kwa Ofisa wa NMB Balthazar Clemence wakati wa mkutano wa 29 wa Jumuia za  Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni