TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Ijumaa, 10 Mei 2013

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO


 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akibadilishana  mawazo na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais , Mahusiano na Uratibu Uratibu ,Stephen   Wasira katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo.
 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake, Sophia Simba akipongezwa na baadhi wabunge mara baada ya kuwasilisha hotuba yake ya Makadrio ya Matumizi ya Fedha kwa mwaka 2013/2014.
 Picha ya pamoja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni