TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Jumanne, 28 Mei 2013

CCM YAFUNIKA MKUTANO WA LUDEWA,NJOMBE LEO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa CCM, kwenye Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoa wa Njombe, leo jioni. Kinana yupo katika ziara ya siku saba, kukagua utekelezaji wa ilani ya chama na kuzungumza na wananchi mkoani Njombe, amefuatana na Katiobu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Mei 28, 2013 katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoani Njombe. Picha na Bashir Nkoromo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni