TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Ijumaa, 31 Mei 2013

MTU MMOJA ATELEZA NA KUFARIKI DUNIA AKIJARIBU KUDANDIA DALADA ILALA BOMA LEO ASUBUHI

 'Innah Lillah Wainna Lillah Lajiun'', Mtu mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina lake mapema asubuhi ya leo amefariki dunia baada ya kuteleza wakati alipokuwa ajijaribu kutaka kudandia usafiri wa Daladala maeneo ya Ilala Boma, Jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu huyo umeondolewa eneo hilo na kupelekwa Hospitali ya Amana. Marehemu huyo baada ya kuanguka na kupiga kichwa kwenye lami, alipasuka kichwa na kuvuja damu nyingi iliyopelekea umauti wake.
Hili ndilo Daladala alilokuwa akijaribu kudandia marehemu huyo.......

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni