TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Jumanne, 18 Juni 2013

*Skylight Band yazidi kuwachizisha mashabiki wake ndani ya Thai Village jijini Dar.

IMG_0959
Kikosi kazi cha Skylight Band kikisebeneka wakati wakitoa burudani kwa mashabiki wa kwenye show zao za kila Ijumaa ya mwisho wa wiki ndani ya Uwanja wa wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar.
IMG_0955
Minataka Mukanda ya Chuma chuma......Style mpya ya uchezaji ya Skylight Band. Pichani ni mashabiki wakijaribu miondoko hiyo.IMG_0918
Aneth Kushaba AK47 na Sam Mapenzi wakiburudisha mashabiki wa Skylight Band.
IMG_0968
Mary Lucos akicheza na kuimba na mashabiki wa Skylight Band.
IMG_0974
Mmoja wa mashabiki wa Skylight Band aliyejaaliwa kipaji akionyesha ufundi wake wakusakata sebene huku wenzake wakimpigia makofi.
IMG_0973
Wakaka hawakukubali kushindwa na walijibu mapigo kwa wadada. Kanyaga twendeeeeee.
IMG_0975
Kiduku pia kilichezeka....Hapa chezea Skylight Band weweeee.... ndio habari ya mujini.
IMG_0924
Rapa Sony Masamba wa Skylight Band akiwajibika jukwaani.
IMG_0978
Utamu wa ngoma unapokolea inakuwa hivi.....Shabiki akinengua kwa Staili ya aina yake.
IMG_0935
Aneth Kushaba AK 47 katika hisia kali.
IMG_0942
Skylight Band ikiongozwa na Aneth Kushaba AK 47 wakitoa burudani kwa mashabiki wao.
IMG_0955
IMG_1015
Mduara nao ulihusika.
IMG_0990
Super Model wa ukweli kwenye pozi matata ndani ya nyumba.
IMG_0997
Wadau Victor Maginga (kulia) akishow love na mshikaji wake ndani ya Skylight Band.
IMG_0986
Warembo wa ukweeeeeh ndani ya nyumba.
IMG_1017
Kifaa kingine hicho kinaitwa Neema.
IMG_1007
Mdau askihow love.
IMG_1020
Mdau Dagma akishow love na Justin Ndege.
IMG_1028
Sam Mapenzi na Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo (asiyekubali anywe sumu ya panya) wakishow love mbele ya Camera yetu mara baada ya kutoa burudani kwa mashabiki wao....Njoo Ijumaa hii ujionee burudani ya Ukweli kutoka kwa vijana waliobarikiwa na kipaji kutoka kwa Muumba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni