TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU

Jumatano, 31 Julai 2013

Wavutaji Sigara wa Jijini Nairobi wanavyodhibitiwa kutovuta hovyo sigara mtaani

Baadhi ya wavutaji wa sigara wakiwa katika chumba kimoja katijati ta  jiji la nairobi wakivuta sugara kutokana na nchi ya kenya kuweka msimamo na kusimamia sheria ya kutovuta sigara katika eneo lenye watu wengine wasiotumia sigara. jambo hilo humfanya mtu kutembea umbali mrefu kutafuta eneo hilo maalum kwa uvutaji wa sigara tofauti na nchi nyinginezo mnapishana tu na wavutaji tena wakikupulizia moshi usini.

Maoni 1 :

  1. Enter the world of technology through iphone app development. It can also help to boost the business online.

    JibuFuta