Baadhi ya wavutaji wa sigara wakiwa katika chumba kimoja katijati ta jiji la nairobi wakivuta sugara kutokana na nchi ya kenya kuweka msimamo na kusimamia sheria ya kutovuta sigara katika eneo lenye watu wengine wasiotumia sigara. jambo hilo humfanya mtu kutembea umbali mrefu kutafuta eneo hilo maalum kwa uvutaji wa sigara tofauti na nchi nyinginezo mnapishana tu na wavutaji tena wakikupulizia moshi usini.TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU
Jumatano, 31 Julai 2013
Wavutaji Sigara wa Jijini Nairobi wanavyodhibitiwa kutovuta hovyo sigara mtaani
Baadhi ya wavutaji wa sigara wakiwa katika chumba kimoja katijati ta jiji la nairobi wakivuta sugara kutokana na nchi ya kenya kuweka msimamo na kusimamia sheria ya kutovuta sigara katika eneo lenye watu wengine wasiotumia sigara. jambo hilo humfanya mtu kutembea umbali mrefu kutafuta eneo hilo maalum kwa uvutaji wa sigara tofauti na nchi nyinginezo mnapishana tu na wavutaji tena wakikupulizia moshi usini.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Enter the world of technology through iphone app development. It can also help to boost the business online.
JibuFuta